Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #102 Translated in Swahili

إِذْ نُسَوِّيكُمْ بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ
Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.
فَمَا لَنَا مِنْ شَافِعِينَ
Basi hatuna waombezi.
وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ
Wala rafiki wa dhati.
فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.

Choose other languages: