Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #101 Translated in Swahili

تَاللَّهِ إِنْ كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُبِينٍ
Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri,
إِذْ نُسَوِّيكُمْ بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ
Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.
فَمَا لَنَا مِنْ شَافِعِينَ
Basi hatuna waombezi.
وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ
Wala rafiki wa dhati.

Choose other languages: