Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #103 Translated in Swahili

وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ
Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.
فَمَا لَنَا مِنْ شَافِعِينَ
Basi hatuna waombezi.
وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ
Wala rafiki wa dhati.
فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.

Choose other languages: