Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #104 Translated in Swahili

فَمَا لَنَا مِنْ شَافِعِينَ
Basi hatuna waombezi.
وَلَا صَدِيقٍ حَمِيمٍ
Wala rafiki wa dhati.
فَلَوْ أَنَّ لَنَا كَرَّةً فَنَكُونَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Laiti tungeli pata kurejea tena tungeli kuwa katika Waumini.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Choose other languages: