Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #107 Translated in Swahili

إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Hakika katika haya ipo Ishara, lakini wengi wao hawakuwa wenye kuamini.
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.
كَذَّبَتْ قَوْمُ نُوحٍ الْمُرْسَلِينَ
Kaumu ya Nuhu waliwakadhibisha Mitume.
إِذْ قَالَ لَهُمْ أَخُوهُمْ نُوحٌ أَلَا تَتَّقُونَ
Alipo waambia ndugu yao, Nuhu: Je! Hamchimngu?
إِنِّي لَكُمْ رَسُولٌ أَمِينٌ
Hakika mimi kwenu ni Mtume muaminifu.

Choose other languages: