Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #100 Translated in Swahili

قَالُوا وَهُمْ فِيهَا يَخْتَصِمُونَ
Watasema, na hali ya kuwa wanazozana humo:
تَاللَّهِ إِنْ كُنَّا لَفِي ضَلَالٍ مُبِينٍ
Wallahi! Kwa yakini tulikuwa katika upotovu ulio dhaahiri,
إِذْ نُسَوِّيكُمْ بِرَبِّ الْعَالَمِينَ
Tulipo kufanyeni ni sawa na Mola Mlezi wa walimwengu wote.
وَمَا أَضَلَّنَا إِلَّا الْمُجْرِمُونَ
Na hawakutupoteza ila wale wakosefu.
فَمَا لَنَا مِنْ شَافِعِينَ
Basi hatuna waombezi.

Choose other languages: