Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qalam Ayahs #19 Translated in Swahili

إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
سَنَسِمُهُ عَلَى الْخُرْطُومِ
Tutamtia kovu juu ya pua yake.
إِنَّا بَلَوْنَاهُمْ كَمَا بَلَوْنَا أَصْحَابَ الْجَنَّةِ إِذْ أَقْسَمُوا لَيَصْرِمُنَّهَا مُصْبِحِينَ
Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
وَلَا يَسْتَثْنُونَ
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
فَطَافَ عَلَيْهَا طَائِفٌ مِنْ رَبِّكَ وَهُمْ نَائِمُونَ
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!

Choose other languages: