Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qalam Ayahs #21 Translated in Swahili

إِنَّا بَلَوْنَاهُمْ كَمَا بَلَوْنَا أَصْحَابَ الْجَنَّةِ إِذْ أَقْسَمُوا لَيَصْرِمُنَّهَا مُصْبِحِينَ
Hakika tumewajaribu hawa kama tulivyo wajaribu wale wenye shamba, walipo apa kwamba watayavuna mazao yake itakapo kuwa asubuhi.
وَلَا يَسْتَثْنُونَ
Wala hawakusema: Mungu akipenda!
فَطَافَ عَلَيْهَا طَائِفٌ مِنْ رَبِّكَ وَهُمْ نَائِمُونَ
Basi lilitokea tukio juu yake kutoka kwa Mola wako Mlezi, nao wamelala!
فَأَصْبَحَتْ كَالصَّرِيمِ
Likawa kama usiku wa giza.
فَتَنَادَوْا مُصْبِحِينَ
Asubuhi wakaitana.

Choose other languages: