Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Muddaththir Ayahs #50 Translated in Swahili

وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
حَتَّىٰ أَتَانَا الْيَقِينُ
Mpaka yakini ilipo tufikia.
فَمَا تَنْفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
فَمَا لَهُمْ عَنِ التَّذْكِرَةِ مُعْرِضِينَ
Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
كَأَنَّهُمْ حُمُرٌ مُسْتَنْفِرَةٌ
Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,

Choose other languages: