Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Muddaththir Ayahs #49 Translated in Swahili

وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ الْخَائِضِينَ
Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
حَتَّىٰ أَتَانَا الْيَقِينُ
Mpaka yakini ilipo tufikia.
فَمَا تَنْفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
فَمَا لَهُمْ عَنِ التَّذْكِرَةِ مُعْرِضِينَ
Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?

Choose other languages: