Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Muddaththir Ayahs #48 Translated in Swahili

وَلَمْ نَكُ نُطْعِمُ الْمِسْكِينَ
Wala hatukuwa tukiwalisha masikini.
وَكُنَّا نَخُوضُ مَعَ الْخَائِضِينَ
Na tulikuwa tukizama pamoja na walio zama katika maovu.
وَكُنَّا نُكَذِّبُ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na tulikuwa tukiikanusha siku ya malipo.
حَتَّىٰ أَتَانَا الْيَقِينُ
Mpaka yakini ilipo tufikia.
فَمَا تَنْفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.

Choose other languages: