Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Muddaththir Ayahs #52 Translated in Swahili

فَمَا تَنْفَعُهُمْ شَفَاعَةُ الشَّافِعِينَ
Basi hautawafaa kitu uombezi wa waombezi.
فَمَا لَهُمْ عَنِ التَّذْكِرَةِ مُعْرِضِينَ
Basi wana nini hata wanapuuza onyo hili?
كَأَنَّهُمْ حُمُرٌ مُسْتَنْفِرَةٌ
Kama kwamba wao ni mapunda walio timuliwa,
فَرَّتْ مِنْ قَسْوَرَةٍ
Wanao mkimbia simba!
بَلْ يُرِيدُ كُلُّ امْرِئٍ مِنْهُمْ أَنْ يُؤْتَىٰ صُحُفًا مُنَشَّرَةً
Ati kila mmoja katika wao anataka apewe nyaraka zilizo funuliwa.

Choose other languages: