Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Araf Ayahs #114 Translated in Swahili

يُرِيدُ أَنْ يُخْرِجَكُمْ مِنْ أَرْضِكُمْ ۖ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ
Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani?
قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَأَرْسِلْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَاحِرٍ عَلِيمٍ
Wakuletee kila mchawi mjuzi.
وَجَاءَ السَّحَرَةُ فِرْعَوْنَ قَالُوا إِنَّ لَنَا لَأَجْرًا إِنْ كُنَّا نَحْنُ الْغَالِبِينَ
Wakaja wachawi kwa Firauni, wakasema: Hakika tutapata ujira ikiwa tutashinda.
قَالَ نَعَمْ وَإِنَّكُمْ لَمِنَ الْمُقَرَّبِينَ
Akasema: Naam! Nanyi bila ya shaka mtakuwa katika wa karibu nami.

Choose other languages: