Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Araf Ayahs #113 Translated in Swahili

قَالَ الْمَلَأُ مِنْ قَوْمِ فِرْعَوْنَ إِنَّ هَٰذَا لَسَاحِرٌ عَلِيمٌ
Wakasema waheshimiwa wa kaumu ya Firauni: Hakika huyo ni mchawi mjuzi.
يُرِيدُ أَنْ يُخْرِجَكُمْ مِنْ أَرْضِكُمْ ۖ فَمَاذَا تَأْمُرُونَ
Anataka kukutoeni katika nchi yenu. Basi mnatoa shauri gani?
قَالُوا أَرْجِهْ وَأَخَاهُ وَأَرْسِلْ فِي الْمَدَائِنِ حَاشِرِينَ
Wakasema: Mwache kidogo yeye na nduguye, na watume mijini wakusanyao,
يَأْتُوكَ بِكُلِّ سَاحِرٍ عَلِيمٍ
Wakuletee kila mchawi mjuzi.
وَجَاءَ السَّحَرَةُ فِرْعَوْنَ قَالُوا إِنَّ لَنَا لَأَجْرًا إِنْ كُنَّا نَحْنُ الْغَالِبِينَ
Wakaja wachawi kwa Firauni, wakasema: Hakika tutapata ujira ikiwa tutashinda.

Choose other languages: