Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #213 Translated in Swahili

ذِكْرَىٰ وَمَا كُنَّا ظَالِمِينَ
Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ الشَّيَاطِينُ
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
وَمَا يَنْبَغِي لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ
Hakika hao wametengwa na kusikia.
فَلَا تَدْعُ مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ فَتَكُونَ مِنَ الْمُعَذَّبِينَ
Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.

Choose other languages: