Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #215 Translated in Swahili

وَمَا يَنْبَغِي لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ
Hakika hao wametengwa na kusikia.
فَلَا تَدْعُ مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ فَتَكُونَ مِنَ الْمُعَذَّبِينَ
Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.
وَأَنْذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.
وَاخْفِضْ جَنَاحَكَ لِمَنِ اتَّبَعَكَ مِنَ الْمُؤْمِنِينَ
Na watwae kwa upole wanao kufuata miongoni mwa Waumini.

Choose other languages: