Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #214 Translated in Swahili

وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ الشَّيَاطِينُ
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
وَمَا يَنْبَغِي لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ
Hakika hao wametengwa na kusikia.
فَلَا تَدْعُ مَعَ اللَّهِ إِلَٰهًا آخَرَ فَتَكُونَ مِنَ الْمُعَذَّبِينَ
Basi usimwombe mungu mwingine pamoja na Mwenyezi Mungu ukawa miongoni mwa watakao adhibiwa.
وَأَنْذِرْ عَشِيرَتَكَ الْأَقْرَبِينَ
Na uwaonye jamaa zako walio karibu nawe.

Choose other languages: