Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #212 Translated in Swahili

وَمَا أَهْلَكْنَا مِنْ قَرْيَةٍ إِلَّا لَهَا مُنْذِرُونَ
Wala hatukuangamiza mji wo wote ila ulikuwa na waonyaji -
ذِكْرَىٰ وَمَا كُنَّا ظَالِمِينَ
Kuwa ni ukumbusho. Wala Sisi hatukuwa wenye kudhulumu.
وَمَا تَنَزَّلَتْ بِهِ الشَّيَاطِينُ
Wala Mashet'ani hawakuteremka nayo,
وَمَا يَنْبَغِي لَهُمْ وَمَا يَسْتَطِيعُونَ
Wala haitakiwi kwao, na wala hawawezi.
إِنَّهُمْ عَنِ السَّمْعِ لَمَعْزُولُونَ
Hakika hao wametengwa na kusikia.

Choose other languages: