Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #134 Translated in Swahili

وَإِذَا بَطَشْتُمْ بَطَشْتُمْ جَبَّارِينَ
Na mnapo tumia nguvu mnatumia nguvu kwa ujabari.
فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
وَاتَّقُوا الَّذِي أَمَدَّكُمْ بِمَا تَعْلَمُونَ
Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
أَمَدَّكُمْ بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
وَجَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Na mabustani na chemchem.

Choose other languages: