Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #136 Translated in Swahili

وَاتَّقُوا الَّذِي أَمَدَّكُمْ بِمَا تَعْلَمُونَ
Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
أَمَدَّكُمْ بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
وَجَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Na mabustani na chemchem.
إِنِّي أَخَافُ عَلَيْكُمْ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.
قَالُوا سَوَاءٌ عَلَيْنَا أَوَعَظْتَ أَمْ لَمْ تَكُنْ مِنَ الْوَاعِظِينَ
Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.

Choose other languages: