Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #137 Translated in Swahili

أَمَدَّكُمْ بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.
وَجَنَّاتٍ وَعُيُونٍ
Na mabustani na chemchem.
إِنِّي أَخَافُ عَلَيْكُمْ عَذَابَ يَوْمٍ عَظِيمٍ
Hakika mimi ninakukhofieni adhabu ya Siku Kubwa.
قَالُوا سَوَاءٌ عَلَيْنَا أَوَعَظْتَ أَمْ لَمْ تَكُنْ مِنَ الْوَاعِظِينَ
Wakasema: Ni mamoja kwetu, ukitupa mawaidha au hukuwa miongoni mwa watoao mawaidha.
إِنْ هَٰذَا إِلَّا خُلُقُ الْأَوَّلِينَ
Haya si chochote ila ni mtindo wa watu wa tokea zamani.

Choose other languages: