Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #133 Translated in Swahili

وَتَتَّخِذُونَ مَصَانِعَ لَعَلَّكُمْ تَخْلُدُونَ
Na mnajenga majengo ya fakhari kama kwamba mtaishi milele!
وَإِذَا بَطَشْتُمْ بَطَشْتُمْ جَبَّارِينَ
Na mnapo tumia nguvu mnatumia nguvu kwa ujabari.
فَاتَّقُوا اللَّهَ وَأَطِيعُونِ
Basi mcheni Mwenyezi Mungu, na nit'iini.
وَاتَّقُوا الَّذِي أَمَدَّكُمْ بِمَا تَعْلَمُونَ
Na mcheni aliye kupeni haya mnayo yajua.
أَمَدَّكُمْ بِأَنْعَامٍ وَبَنِينَ
Amekupeni wanyama wa kufuga na wana.

Choose other languages: