Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #158 Translated in Swahili

مَا لَكُمْ كَيْفَ تَحْكُمُونَ
Mna nini? Mnahukumu vipi nyinyi?
أَفَلَا تَذَكَّرُونَ
Hamkumbuki?
أَمْ لَكُمْ سُلْطَانٌ مُبِينٌ
Au mnayo hoja iliyo wazi?
فَأْتُوا بِكِتَابِكُمْ إِنْ كُنْتُمْ صَادِقِينَ
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
وَجَعَلُوا بَيْنَهُ وَبَيْنَ الْجِنَّةِ نَسَبًا ۚ وَلَقَدْ عَلِمَتِ الْجِنَّةُ إِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ
Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa.

Choose other languages: