Quran Apps in many lanuages:

Surah As-Saaffat Ayahs #160 Translated in Swahili

أَمْ لَكُمْ سُلْطَانٌ مُبِينٌ
Au mnayo hoja iliyo wazi?
فَأْتُوا بِكِتَابِكُمْ إِنْ كُنْتُمْ صَادِقِينَ
Basi leteni Kitabu chenu kama mnasema kweli.
وَجَعَلُوا بَيْنَهُ وَبَيْنَ الْجِنَّةِ نَسَبًا ۚ وَلَقَدْ عَلِمَتِ الْجِنَّةُ إِنَّهُمْ لَمُحْضَرُونَ
Na wameweka makhusiano ya nasaba baina yake na majini; na majini wamekwisha jua bila ya shaka kuwa wao watahudhurishwa.
سُبْحَانَ اللَّهِ عَمَّا يَصِفُونَ
Subhana 'Llah Ametakasika Mwenyezi Mungu na hayo wanayo msingizia.
إِلَّا عِبَادَ اللَّهِ الْمُخْلَصِينَ
Isipo kuwa waja wa Mwenyezi Mungu walio safishwa.

Choose other languages: