Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naziat Ayahs #16 Translated in Swahili

قَالُوا تِلْكَ إِذًا كَرَّةٌ خَاسِرَةٌ
Wanasema: Basi marejeo hayo ni yenye khasara!
فَإِنَّمَا هِيَ زَجْرَةٌ وَاحِدَةٌ
Kwa hakika hayo ni ukelele mmoja tu,
فَإِذَا هُمْ بِالسَّاهِرَةِ
Mara watakuwa kwenye uwanda wa mkutano!
هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ مُوسَىٰ
Je! Imekufikia hadithi ya Musa?
إِذْ نَادَاهُ رَبُّهُ بِالْوَادِ الْمُقَدَّسِ طُوًى
Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la T'uwaa, akamwambia:

Choose other languages: