Quran Apps in many lanuages:

Surah An-Naziat Ayahs #18 Translated in Swahili

فَإِذَا هُمْ بِالسَّاهِرَةِ
Mara watakuwa kwenye uwanda wa mkutano!
هَلْ أَتَاكَ حَدِيثُ مُوسَىٰ
Je! Imekufikia hadithi ya Musa?
إِذْ نَادَاهُ رَبُّهُ بِالْوَادِ الْمُقَدَّسِ طُوًى
Mola wake Mlezi alipo mwita katika bonde takatifu la T'uwaa, akamwambia:
اذْهَبْ إِلَىٰ فِرْعَوْنَ إِنَّهُ طَغَىٰ
Nenda kwa Firauni. Hakika yeye amezidi jeuri.
فَقُلْ هَلْ لَكَ إِلَىٰ أَنْ تَزَكَّىٰ
Umwambie: Je! Unapenda kujitakasa?

Choose other languages: