Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qalam Ayahs #12 Translated in Swahili

فَلَا تُطِعِ الْمُكَذِّبِينَ
Basi usiwat'ii wanao kadhibisha.
وَدُّوا لَوْ تُدْهِنُ فَيُدْهِنُونَ
Wanatamani lau unge lainisha ili nao wakulainishie.
وَلَا تُطِعْ كُلَّ حَلَّافٍ مَهِينٍ
Wala usimt'ii kila mwingi wa kuapa wa kudharauliwa,
هَمَّازٍ مَشَّاءٍ بِنَمِيمٍ
Mtapitapi, apitaye akifitini,
مَنَّاعٍ لِلْخَيْرِ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,

Choose other languages: