Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qalam Ayahs #14 Translated in Swahili

وَلَا تُطِعْ كُلَّ حَلَّافٍ مَهِينٍ
Wala usimt'ii kila mwingi wa kuapa wa kudharauliwa,
هَمَّازٍ مَشَّاءٍ بِنَمِيمٍ
Mtapitapi, apitaye akifitini,
مَنَّاعٍ لِلْخَيْرِ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
عُتُلٍّ بَعْدَ ذَٰلِكَ زَنِيمٍ
Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.
أَنْ كَانَ ذَا مَالٍ وَبَنِينَ
Ati kwa kuwa ana mali na watoto!

Choose other languages: