Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Qalam Ayahs #16 Translated in Swahili

مَنَّاعٍ لِلْخَيْرِ مُعْتَدٍ أَثِيمٍ
Mwenye kuzuia kheri, dhaalimu, mwingi wa madhambi,
عُتُلٍّ بَعْدَ ذَٰلِكَ زَنِيمٍ
Mkavu, na juu ya hayo, mshari, amejipachika tu.
أَنْ كَانَ ذَا مَالٍ وَبَنِينَ
Ati kwa kuwa ana mali na watoto!
إِذَا تُتْلَىٰ عَلَيْهِ آيَاتُنَا قَالَ أَسَاطِيرُ الْأَوَّلِينَ
Anapo somewa Aya zetu, husema: Hizi ni simulizi za uwongo za watu wa zamani!
سَنَسِمُهُ عَلَى الْخُرْطُومِ
Tutamtia kovu juu ya pua yake.

Choose other languages: