Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #27 Translated in Swahili

الَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ دَائِمُونَ
Ambao wanadumisha Sala zao,
وَالَّذِينَ فِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ مَعْلُومٌ
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
لِلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
وَالَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
وَالَّذِينَ هُمْ مِنْ عَذَابِ رَبِّهِمْ مُشْفِقُونَ
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.

Choose other languages: