Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #26 Translated in Swahili

إِلَّا الْمُصَلِّينَ
Isipo kuwa wanao sali,
الَّذِينَ هُمْ عَلَىٰ صَلَاتِهِمْ دَائِمُونَ
Ambao wanadumisha Sala zao,
وَالَّذِينَ فِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ مَعْلُومٌ
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
لِلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
وَالَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,

Choose other languages: