Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Maarij Ayahs #28 Translated in Swahili

وَالَّذِينَ فِي أَمْوَالِهِمْ حَقٌّ مَعْلُومٌ
Na ambao katika mali yao iko haki maalumu
لِلسَّائِلِ وَالْمَحْرُومِ
Kwa mwenye kuomba na anaye jizuilia kuomba;
وَالَّذِينَ يُصَدِّقُونَ بِيَوْمِ الدِّينِ
Na ambao wanaisadiki Siku ya Malipo,
وَالَّذِينَ هُمْ مِنْ عَذَابِ رَبِّهِمْ مُشْفِقُونَ
Na ambao wanaiogopa adhabu itokayo kwa Mola wao Mlezi.
إِنَّ عَذَابَ رَبِّهِمْ غَيْرُ مَأْمُونٍ
Hakika adhabu ya Mola wao Mlezi si ya kuaminika nayo.

Choose other languages: