Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Lail Ayahs #20 Translated in Swahili

الَّذِي كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
وَسَيُجَنَّبُهَا الْأَتْقَى
Na mchamngu ataepushwa nao,
الَّذِي يُؤْتِي مَالَهُ يَتَزَكَّىٰ
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
وَمَا لِأَحَدٍ عِنْدَهُ مِنْ نِعْمَةٍ تُجْزَىٰ
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
إِلَّا ابْتِغَاءَ وَجْهِ رَبِّهِ الْأَعْلَىٰ
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.

Choose other languages: