Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Lail Ayahs #19 Translated in Swahili

لَا يَصْلَاهَا إِلَّا الْأَشْقَى
Hatauingia ila mwovu kabisa!
الَّذِي كَذَّبَ وَتَوَلَّىٰ
Anaye kadhibisha na kupa mgongo.
وَسَيُجَنَّبُهَا الْأَتْقَى
Na mchamngu ataepushwa nao,
الَّذِي يُؤْتِي مَالَهُ يَتَزَكَّىٰ
Ambaye hutoa mali yake kwa ajili ya kujitakasa.
وَمَا لِأَحَدٍ عِنْدَهُ مِنْ نِعْمَةٍ تُجْزَىٰ
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.

Choose other languages: