Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Lail Ayahs #21 Translated in Swahili

وَمَا لِأَحَدٍ عِنْدَهُ مِنْ نِعْمَةٍ تُجْزَىٰ
Na wala si kwa kuwa yupo yeyote aliye mfanyia hisani ndio anamlipa.
إِلَّا ابْتِغَاءَ وَجْهِ رَبِّهِ الْأَعْلَىٰ
Ila ni kutaka radhi ya Mola wake Mlezi aliye juu kabisa.
وَلَسَوْفَ يَرْضَىٰ
Naye atakuja ridhika!

Choose other languages: