Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Balad Ayahs #10 Translated in Swahili

يَقُولُ أَهْلَكْتُ مَالًا لُبَدًا
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
أَيَحْسَبُ أَنْ لَمْ يَرَهُ أَحَدٌ
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
أَلَمْ نَجْعَلْ لَهُ عَيْنَيْنِ
Kwani hatukumpa macho mawili?
وَلِسَانًا وَشَفَتَيْنِ
Na ulimi, na midomo miwili?
وَهَدَيْنَاهُ النَّجْدَيْنِ
Na tukambainishia zote njia mbili?

Choose other languages: