Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Balad Ayahs #11 Translated in Swahili

أَيَحْسَبُ أَنْ لَمْ يَرَهُ أَحَدٌ
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
أَلَمْ نَجْعَلْ لَهُ عَيْنَيْنِ
Kwani hatukumpa macho mawili?
وَلِسَانًا وَشَفَتَيْنِ
Na ulimi, na midomo miwili?
وَهَدَيْنَاهُ النَّجْدَيْنِ
Na tukambainishia zote njia mbili?
فَلَا اقْتَحَمَ الْعَقَبَةَ
Lakini hakujitoma kwenye njia ya vikwazo vya milimani.

Choose other languages: