Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Balad Ayahs #9 Translated in Swahili

أَيَحْسَبُ أَنْ لَنْ يَقْدِرَ عَلَيْهِ أَحَدٌ
Ati anadhani hapana yeyote ataye muweza?
يَقُولُ أَهْلَكْتُ مَالًا لُبَدًا
Anasema: Nimeteketeza chungu ya mali.
أَيَحْسَبُ أَنْ لَمْ يَرَهُ أَحَدٌ
Ati anadhani ya kuwa hapana yeyote anaye mwona?
أَلَمْ نَجْعَلْ لَهُ عَيْنَيْنِ
Kwani hatukumpa macho mawili?
وَلِسَانًا وَشَفَتَيْنِ
Na ulimi, na midomo miwili?

Choose other languages: