Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Ala Ayahs #15 Translated in Swahili

وَيَتَجَنَّبُهَا الْأَشْقَى
Na atajitenga mbali nayo mpotovu,
الَّذِي يَصْلَى النَّارَ الْكُبْرَىٰ
Ambaye atauingia Moto mkubwa.
ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ
Tena humo hatakufa wala hawi hai.
قَدْ أَفْلَحَ مَنْ تَزَكَّىٰ
Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
وَذَكَرَ اسْمَ رَبِّهِ فَصَلَّىٰ
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.

Choose other languages: