Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Ala Ayahs #17 Translated in Swahili

ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ
Tena humo hatakufa wala hawi hai.
قَدْ أَفْلَحَ مَنْ تَزَكَّىٰ
Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
وَذَكَرَ اسْمَ رَبِّهِ فَصَلَّىٰ
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
بَلْ تُؤْثِرُونَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
وَالْآخِرَةُ خَيْرٌ وَأَبْقَىٰ
Na Akhera ni bora na yenye kudumu zaidi.

Choose other languages: