Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Ala Ayahs #18 Translated in Swahili

قَدْ أَفْلَحَ مَنْ تَزَكَّىٰ
Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
وَذَكَرَ اسْمَ رَبِّهِ فَصَلَّىٰ
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
بَلْ تُؤْثِرُونَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!
وَالْآخِرَةُ خَيْرٌ وَأَبْقَىٰ
Na Akhera ni bora na yenye kudumu zaidi.
إِنَّ هَٰذَا لَفِي الصُّحُفِ الْأُولَىٰ
Hakika haya yamo katika Vitabu vya mwanzo,

Choose other languages: