Quran Apps in many lanuages:

Surah Al-Ala Ayahs #16 Translated in Swahili

الَّذِي يَصْلَى النَّارَ الْكُبْرَىٰ
Ambaye atauingia Moto mkubwa.
ثُمَّ لَا يَمُوتُ فِيهَا وَلَا يَحْيَىٰ
Tena humo hatakufa wala hawi hai.
قَدْ أَفْلَحَ مَنْ تَزَكَّىٰ
Hakika amekwisha fanikiwa aliye jitakasa.
وَذَكَرَ اسْمَ رَبِّهِ فَصَلَّىٰ
Na akakumbuka jina la Mola wake Mlezi, na akasali.
بَلْ تُؤْثِرُونَ الْحَيَاةَ الدُّنْيَا
Lakini nyinyi mnakhiari maisha ya dunia!

Choose other languages: