Quran Apps in many lanuages:

Surah Maryam Ayahs #91 Translated in Swahili

لَا يَمْلِكُونَ الشَّفَاعَةَ إِلَّا مَنِ اتَّخَذَ عِنْدَ الرَّحْمَٰنِ عَهْدًا
Hawatakuwa na mamlaka ya uombezi ila wale walio chukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema..
وَقَالُوا اتَّخَذَ الرَّحْمَٰنُ وَلَدًا
Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!
لَقَدْ جِئْتُمْ شَيْئًا إِدًّا
Hakika mmeleta jambo la kuchusha mno!
تَكَادُ السَّمَاوَاتُ يَتَفَطَّرْنَ مِنْهُ وَتَنْشَقُّ الْأَرْضُ وَتَخِرُّ الْجِبَالُ هَدًّا
Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande.
أَنْ دَعَوْا لِلرَّحْمَٰنِ وَلَدًا
Kwa kudai kwao kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana.

Choose other languages: