Quran Apps in many lanuages:

Surah Maryam Ayahs #90 Translated in Swahili

وَنَسُوقُ الْمُجْرِمِينَ إِلَىٰ جَهَنَّمَ وِرْدًا
Na tukawachunga wakhalifu kuwapeleka Jahannamu hali ya kuwa wana kiu.
لَا يَمْلِكُونَ الشَّفَاعَةَ إِلَّا مَنِ اتَّخَذَ عِنْدَ الرَّحْمَٰنِ عَهْدًا
Hawatakuwa na mamlaka ya uombezi ila wale walio chukua ahadi kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema..
وَقَالُوا اتَّخَذَ الرَّحْمَٰنُ وَلَدًا
Na wao ati husema kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana!
لَقَدْ جِئْتُمْ شَيْئًا إِدًّا
Hakika mmeleta jambo la kuchusha mno!
تَكَادُ السَّمَاوَاتُ يَتَفَطَّرْنَ مِنْهُ وَتَنْشَقُّ الْأَرْضُ وَتَخِرُّ الْجِبَالُ هَدًّا
Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande.

Choose other languages: