Quran Apps in many lanuages:

Surah Maryam Ayahs #94 Translated in Swahili

تَكَادُ السَّمَاوَاتُ يَتَفَطَّرْنَ مِنْهُ وَتَنْشَقُّ الْأَرْضُ وَتَخِرُّ الْجِبَالُ هَدًّا
Zinakaribia mbingu kutatuka kwa hilo, na ardhi kupasuka, na milima kuanguka vipande vipande.
أَنْ دَعَوْا لِلرَّحْمَٰنِ وَلَدًا
Kwa kudai kwao kuwa Arrahmani Mwingi wa Rehema ana mwana.
وَمَا يَنْبَغِي لِلرَّحْمَٰنِ أَنْ يَتَّخِذَ وَلَدًا
Wala hahitajii Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa na mwana.
إِنْ كُلُّ مَنْ فِي السَّمَاوَاتِ وَالْأَرْضِ إِلَّا آتِي الرَّحْمَٰنِ عَبْدًا
Hapana yeyote aliomo mbinguni na ardhini ila atafika kwa Arrahmani Mwingi wa Rehema kuwa ni mtumwa wake.
لَقَدْ أَحْصَاهُمْ وَعَدَّهُمْ عَدًّا
Yeye hakika amewadhibiti na amewahisabu sawa sawa.

Choose other languages: