Quran Apps in many lanuages:

Surah At-Takwir Ayahs #20 Translated in Swahili

الْجَوَارِ الْكُنَّسِ
Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
وَاللَّيْلِ إِذَا عَسْعَسَ
Na kwa usiku unapo pungua,
وَالصُّبْحِ إِذَا تَنَفَّسَ
Na kwa asubuhi inapo pambazuka,
إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
ذِي قُوَّةٍ عِنْدَ ذِي الْعَرْشِ مَكِينٍ
Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi,

Choose other languages: