Quran Apps in many lanuages:

Surah At-Takwir Ayahs #23 Translated in Swahili

إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,
ذِي قُوَّةٍ عِنْدَ ذِي الْعَرْشِ مَكِينٍ
Mwenye nguvu na mwenye cheo kwa huyo Mwenye Kiti cha Enzi,
مُطَاعٍ ثَمَّ أَمِينٍ
Anaye t'iiwa, tena muaminifu.
وَمَا صَاحِبُكُمْ بِمَجْنُونٍ
Na wala huyu mwenzenu hana wazimu.
وَلَقَدْ رَآهُ بِالْأُفُقِ الْمُبِينِ
Na hakika yeye alimwona kwenye upeo wa macho ulio safi.

Choose other languages: