Quran Apps in many lanuages:

Surah At-Takwir Ayahs #19 Translated in Swahili

فَلَا أُقْسِمُ بِالْخُنَّسِ
Naapa kwa nyota zinapo rejea nyuma,
الْجَوَارِ الْكُنَّسِ
Zinazo kwenda, kisha zikajificha,
وَاللَّيْلِ إِذَا عَسْعَسَ
Na kwa usiku unapo pungua,
وَالصُّبْحِ إِذَا تَنَفَّسَ
Na kwa asubuhi inapo pambazuka,
إِنَّهُ لَقَوْلُ رَسُولٍ كَرِيمٍ
Kwamba hakika bila ya shaka hii ni kauli ya Mjumbe mtukufu,

Choose other languages: