Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #68 Translated in Swahili

وَأَزْلَفْنَا ثَمَّ الْآخَرِينَ
Na tukawajongeza hapo wale wengine.
وَأَنْجَيْنَا مُوسَىٰ وَمَنْ مَعَهُ أَجْمَعِينَ
Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.
ثُمَّ أَغْرَقْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawazamisha hao wengine.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.
وَإِنَّ رَبَّكَ لَهُوَ الْعَزِيزُ الرَّحِيمُ
Na kwa hakika Mola wako Mlezi ndiye Mwenye nguvu Mwenye kurehemu.

Choose other languages: