Quran Apps in many lanuages:

Surah Ash-Shu'ara Ayahs #67 Translated in Swahili

فَأَوْحَيْنَا إِلَىٰ مُوسَىٰ أَنِ اضْرِبْ بِعَصَاكَ الْبَحْرَ ۖ فَانْفَلَقَ فَكَانَ كُلُّ فِرْقٍ كَالطَّوْدِ الْعَظِيمِ
Tulimletea wahyi Musa tukamwambia: Piga bahari kwa fimbo yako. Basi ikatengana, na kila sehemu ikawa kama mlima mkubwa.
وَأَزْلَفْنَا ثَمَّ الْآخَرِينَ
Na tukawajongeza hapo wale wengine.
وَأَنْجَيْنَا مُوسَىٰ وَمَنْ مَعَهُ أَجْمَعِينَ
Tukawaokoa Musa na walio kuwa pamoja naye wote.
ثُمَّ أَغْرَقْنَا الْآخَرِينَ
Kisha tukawazamisha hao wengine.
إِنَّ فِي ذَٰلِكَ لَآيَةً ۖ وَمَا كَانَ أَكْثَرُهُمْ مُؤْمِنِينَ
Hakika bila ya shaka katika hayo ipo Ishara; lakini wengi wao si katika wenye kuamini.

Choose other languages: